Ukisikia mitandao wakati mwingine mibaya, kuna watu wenye nia mbaya
wametengeneza picha ya nyumba ya Diamond ikionesha kuwa anafuga nyoka
mkubwa. Picha hii kwa sisi wataalamu wa uchoraji inaonekana kuwa ni ya
kutengeneza kwani kuna vielelezo macho vinavyoashira kuwa ni ya
kuchonga.
Huyu mtu ameshindwa ujanja mdogo wa kutengeneza kivuli, kwa sababu nyumba inaonyesha kivuli, mtengenezaji amembanananisha sana na ground floor wakati nyoka huwa ni wa mviringo , kuna mambo wengi tu ya kuonesha kuwa amefeli.
Ni hayo wasimwonee wivu mtoto wa wenzie, kapata kihalali.
Toa maoni yako hapo chini tafadhali...!
Huyu mtu ameshindwa ujanja mdogo wa kutengeneza kivuli, kwa sababu nyumba inaonyesha kivuli, mtengenezaji amembanananisha sana na ground floor wakati nyoka huwa ni wa mviringo , kuna mambo wengi tu ya kuonesha kuwa amefeli.
Ni hayo wasimwonee wivu mtoto wa wenzie, kapata kihalali.
Toa maoni yako hapo chini tafadhali...!



Note: Only a member of this blog may post a comment.