Nimekusogezea
stori kubwa mtu wangu zilizosikika kwenye Magazeti ya leo April 22, ipo
ya bajeti ya mwisho kwa Serikali ya awamu ya nne inayotarajiwa
kujadiliwa April 27, NEC imesema kuna uwezekano kura ya maoni ikafanyika
pamoja na uchaguzi mkuu October 2015, Dr.Slaa amesema wamegundua NEC imeanza kuandikisha wapiga kura kwenye mikoa ambayo ni ngome ya CCM, imesikika na hii ya mlinzi wa Askofu Gwajima kajisalimisha Mahakama ya Kisutu.
Nyingine iliyosikika ni ishu ya raia 12
wa Iran na Pakistan wanaokabiliwa na kesi ya kuingiza mihadarati nchini
kuelezea kuchoshwa na kesi yao kuchukua muda mrefu, ipo ya tukio la
Polisi Dar kuwakamata watuhumiwa wanne waliojihusisha na tukio la
uporaji, kutoka Moshi gari la kiwanda cha Bonite limevamiwa na
wafanyakazi wawili kuuawa, madereva wa mabasi na malori wameelezea
kusikitishwa na Serikali kwa kushindwa kufanya mazungumzo na Serikali
imeendelea kutekeleza mikakati ya kutoa wataalamu wengi wa Sayansi.
Hii imesikika kwenye PowerBreakfast @CloudsFM, bonyeza play…

Note: Only a member of this blog may post a comment.