Monday, April 20, 2015

Anonymous

PICHAZ+VIDEO: Utani kwenye mitandao, kabla na baada ya mechi ya Manchester United vs Chelsea April 18 2015.


utani 1
Manchester United ilicheza na Chelsea weekend hii iliyopita na kukutana na kipigo cha goli moja bila ambapo ushindi huo Chelsea ulipatikana kupitia kwa Hazard dakika ya 38.
Baada ya hapo utani ulioanza kusambaa kwenye mitandao ni pamoja na hiyo picha hapo juu, hii inayofata hapa chini ilisambaa kabla ya mechi lakini hiyo ya chini yake ndio ikawa kama muendelezo wa hii ya juu. 
 utani 3
Utani 2

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.