Imelda Mtema
Kazi kwelikweli! Mkali wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘K’ amefunguka kuwa kwa umri aliofikia mwanaye, Paula Paul wa miaka 14 ana kibarua kigumu cha kuhakikisha anakuwa salama hasa kwenye suala la wanaume.
“Dunia ya sasa watu siyo wema kihivyo lakini naamini sitashindwa na Mungu anisimamie,” alisema Kajala.
Kazi kwelikweli! Mkali wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘K’ amefunguka kuwa kwa umri aliofikia mwanaye, Paula Paul wa miaka 14 ana kibarua kigumu cha kuhakikisha anakuwa salama hasa kwenye suala la wanaume.
Mtoto wa Kajala Masanja ‘K’, Paula Paul.
Akichezecha taya na Ijumaa Wikienda wikiendi iliyopita, Kajala
alisema kuwa kwa umri huo, Paula ambaye alizaa na Prodyuza wa Bongo
Records, Paul Matthysse ‘P Funky’ anahitaji uangalizi wa nguvu na
kumsimamia kwa kila jamabo ili kuwakwepa ‘mijitu mikware’ ambao wanaweza
kumrubuni.“Dunia ya sasa watu siyo wema kihivyo lakini naamini sitashindwa na Mungu anisimamie,” alisema Kajala.

Note: Only a member of this blog may post a comment.