Monday, April 13, 2015

Anonymous

MASKINI SNURA WA MAJANGA! AFANYWA KITU MBAYA NA WAHUNI!

Staa alieanzia Bongo Movie na kuingia kwenye Bongo Fleva Snura Mushi ‘Mama wa Majanga’ simu yake ya mkononi imetekwa na wajanja wa mjini kwa kuswap na simu anazopigiwa yeye kwenda kwa mtu mwingine ambaye hata hamjui wala hana mahusiano naye na hajui alitumia njia gani kuiteka hajui. 

“Hata sielewi mtu huyu kafanyeje hadi namba yangu kuitumia yeye, na mbaya zaidi ni pale ambapo kilaanapobahatisha namba ya rafiki yangu huomba atumiwe pesa nahisi lengo lake kuu ilikuwa ni kujipatia pesa kwa njia ya utapeli na kujiita Snura,”anasema Snura. 

Katika kuepuka hilo msanii huyo ameamua kuiachana namba hiyo na anapatikana katika namba mpya ambayo anawasiliana na jamaa zake pamoja na wateja wake wanaomhitaji katika show za muziki hivyo kwa wapenzi wake waliokumbwa na mikasa ya tapeli huyu anawapa pole na wakiombwa fedha na mtu huyo wasimtumie ni muongo.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.