Ommy Dimpoz akiwa na Mama G for Germany
Waigizaji na mchekeshaji anaefanyia kazi zake huko ughaibuni, Mama G
for Germany ‘Ronet’ siku ya jana alikonga nyoyo za mashabiki wa
mjini Zurich nchini Switzerland kwa kutoa burudani ya vichekesho kabla
ya msanii Ommy Dimpoz ‘Baba Wanjera’ kutoka hapa bongo kupanda stejini
kupiga shoo ya nguvu iliyowafanya mashabiki waliohudhulia shoo hiyo
kufurahia mwanzo mwisho.
Mama G ni moja kati ya wakali wa sanaa ya vichekesho anaefanya vizuri huko nchi za nje. Tazama moja kati ya kazi zake HAPA

Note: Only a member of this blog may post a comment.