Miss Wema Sepetu
Anazungumzia ishu ya kupata mtoto ndani ya EFM Radio Jana...
Anasema watu wanaomsema hapati mimba kwa kuwa ametoa sana mimba, ni
uongo kwa kuwa ameshatoa mimba moja tu tena ya Kanumba na kwa kuwa
alikuwa mdogo.Anasema ndoto yake ilikuwa kuzaa na Diamond ila hakuwahi kupata ujauzito ila ameangaika sana kupata na Diamond na wame-hustle together kumpata mtoto ila haikuwezekana.
Anasema tangu apate hiyo mimba ya Kanumba hakuna mwanaume ambaye ameshawahi kumpa ujauzito. Anachukia sana watu wanapomkashifu kwa kuwa ata yeye ili swala lina muumiza sana.
Source: EFM


Note: Only a member of this blog may post a comment.