Moja ya stori ambacho zimeanza kuchukua nafasi kwenye kurasa za watu mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo Whatsapp na Instagram ni ishu ya ajali ambayo imetokea leo.
Mwandishi wa Habari za michezo TZ na Mtangazaji wa show ya Sports Xtra @CloudsFM, Shaffih Dauda ameweka post kwenye ukurasa wake wa Instagram, inahusu ajali ya gari la mashabiki wa timu ya Simba Sports Club; “Wanachama
wa tawi la mpira na maendeleo maarufu kama Simba Ukawa wamepata ajali
wakiwa njiani kuelekea mkoani shinyanga,Taarifa zaidi zitafuata…“– @shaffih

Note: Only a member of this blog may post a comment.