Hivi punde kumetokea ajali basi la Unique namba za usajili T148 BKK likitokea jijini Mwanza kwenda Tabora kugongana na lori la kampuni la Coca Cola katika kijiji cha Ibingo kata ya Samuye Shinyanga. Taarifa za awali zinaarifu ya kuwa watu wengi wamefariki na majeruhi wamekimbizwa katika hospitali ya mkoa wa Shinyanga.
Taarifa zaidi na picha na tutawaleteeni hivi punde hapa hapa KandiliYetu, endelea kufuatilia mtandao huu!
Taarifa zaidi na picha na tutawaleteeni hivi punde hapa hapa KandiliYetu, endelea kufuatilia mtandao huu!


Note: Only a member of this blog may post a comment.