Jinala staa wa kike anayefanya poa kwenye bongofleva sasa hivi, Vanessa Mdee aka Vee Money
limeendelea kuonekana kwenye headlines za majukwaa makubwa ambapo
weekend iliyopita ilikua ni zamu ya Lagos Nigeria ambako alishinda tuzo
mwaka 2014 kama msanii bora wa kike kutoka Afrika Mashariki.
V aliukubali mwaliko mwingine wa kwenda
Nigeria ikiwa ni mara yake ya pili kupanda kwenye stage Nigeria kwenye
hii show ya juzi April 4 2015 na wakali wengine kama Iyanya na Burna Boy kwenye stage moja ya Gidi Cultural Festival.
Umependa nini kwenye muonekano wa V?

Note: Only a member of this blog may post a comment.