Mwigizaji Mlela anasema anasema tofauti kubwa ya filamu nje yaani
Africa, Ulaya na America na zile za bongo ni fedha tu. Wenzetu
wanawekeza fedha nyingi kwenye filamu moja tofauti na sisi. Je wewe mdau
unaamini maneno yake?
Kwamba kama tukiamua siku moja kuwekeza pesa nyingi katika filamu zetu siku moja Mlela anaweza kuingia katika tuzo za Oscar kupambana na wakina Denzel Washngton au Jammie Fox?
Napata mashaka kidogo mimi naamini tofauti ni kubwa zaidi ya pesa.
By Iron Finger Via JF
Kwamba kama tukiamua siku moja kuwekeza pesa nyingi katika filamu zetu siku moja Mlela anaweza kuingia katika tuzo za Oscar kupambana na wakina Denzel Washngton au Jammie Fox?
Napata mashaka kidogo mimi naamini tofauti ni kubwa zaidi ya pesa.
By Iron Finger Via JF


Note: Only a member of this blog may post a comment.