Wakazi wa Kigoma Kaskazini leo(Jumapili) walikusanyika pamoja kumsikiliza Mbunge wao Zitto Kabwe ambaye siku ya leo ameamua kuitumia rasmi kama kuwaaga wananchi na wapiga kura wa jimbo lake.
Zitto Kabwe ambaye Ijumaa ya wiki hii kupitia mtandao wa kijamii kwenye akaunti yake ya Twitter ali-break news kwamba hatogombea tena Ubunge kwenye uchaguzi ujao wa mwishoni mwa mwaka huu.
Zitto Kabwe ambaye Ijumaa ya wiki hii kupitia mtandao wa kijamii kwenye akaunti yake ya Twitter ali-break news kwamba hatogombea tena Ubunge kwenye uchaguzi ujao wa mwishoni mwa mwaka huu.
Baada ya hotuba yake kumalizika, millardayo ilifanikiwa kuongea na baadhi ya wananchi lakini asilimia kubwa ya wananchi hawajamuunga mkono kwa uamuzi huo wa Mbunge wao Zitto Kabwe wa kutogombea tena ubunge,hizi ni baadhi ya picha mtu wangu.

Note: Only a member of this blog may post a comment.