
Mtu moja ambaye hajajulikana bado jina lake ameteketezwa kwa moto na wananchi wenye hasira kali baada ya kumpasua kichwa mtoto wa dada yake na kufariki dunia papo hapo kwa kutumia sururu kichwani ambae alikua akiishi naye maeneo ya Nsalaga Uyole sababu hazijajulikana.
Mwili wa mtu huyo ukichochewa na kuni za mabanzi ili kuuteketeza kabisa.
Taarifa kamili tutaitoa baada ya polisi kufanya uchunguzi wa tukio hii maana ndio wamefika eneo la tukio. Picha za mtoto hazifai kuziweka hapa!

Note: Only a member of this blog may post a comment.