Tuesday, March 31, 2015

Anonymous

NEWS ALERT: ASKARI WAWILI WAVAMIWA NA KUUAWA KIKATILI NA MAJAMBAZI USIKU HUU!

Taarifa tulizozipata muda mfupi uliopita ni kwamba majambazi yamevamia kizuizi cha polisi Kongowe na kuua askari polisi wawili na kisha kupora bunduki mbili aina ya SMG. Baada ya tukio hilo wakavamia kituo cha mafuta cha Lake Oil na kisha kutokomea katika msitu wa Mkuranga.
Chanzo chetu cha taarifa kimewataja waliopoteza kuwa ni sgt Francis na Cpl Michael, wote ni polisi wa kituo cha Mbagala.
Endelea kufuatilia zaidi hapa kandiliyetu.com

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.