Mwanaume huyo akimpatia mteja viatu ili aviangalie Mwanaume mmoja jijini Athens nchini Uturuki ameonekana akivua viatu na kutaka kumuuzia mpita njia mmoja lakini wameshindwa kuafikiana bei na kuamua kuachana naye.
Fatilia picha za kisa hiki hapa;
Wakielekea kuafiki makubaliano
Wakishindwa kuafikiana bei
Jamaa akisononeka baada ya kushindwa kuafikiana

Note: Only a member of this blog may post a comment.