#HABARI Vurugu zaibuka Mkoani Mwanza
Polisi mkoani Mwanza wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya
waombolezaji waliojikusanya mjini misungwi kupinga kitendo cha Polisi
kumpiga kijana Magata Salum aliyekufa leo.
Wananchi hao
wamejikusanya kupinga mwili wa kijana huyo Magata Salum kupelekwa kituo
cha polisi wala kushughulikiwa na polisi kwa madai kuwa amekufa kwa
kupigwa na polisi.
Endelea kufuatilia hapa kwa taarifa zaidi!
-via EATV


Note: Only a member of this blog may post a comment.