PICHA: Mama G (kushoto) akiwa na Nkalamy na Lucie Komba, zaidi hapo juu.
Mwigizaji na Mchekeshaji anaeishi nchini Ugerumani, maarufu kama Mama G for Germany aka Ronet ametoa burudani ya kufa mtu kwenye shindano la Miss Kenya Germany 2015 lililofanyika usiku wa kuamkia jana huko nchini Ujerumani.
Mama G aliwavunja mbavu watu kwa vicheko mfululizo wakati alipokuwa akifanya yake ukumbini humo na kulifanya shindano hilo kunoga zaidi.
Staa wa Bongo Movies ambae kwa sasa anaishi ughaibuni, Lucy Komba pamoja na Rehema Amiry Nkalami wa swahili radio Denmark walikuwa ni moja kati ya watu waliohudhuria kwenye shindano hilo ikiwa ni kumpa support Mama G.
na kumtakia mafanikio zaidi kwenye kazi zake za sanaa huko Ughaibuni.


Note: Only a member of this blog may post a comment.