Dr. Seif Rashid ametoa
tamko la kupinga uvutaji wa sigara katika maeneo ya mkusanyiko wa watu,
ripoti mpya ya utafiti imeitaja Tanzania kuwa kinara wa kutengeneza
vifaa feki vya umeme Afrika, sheria mpya dawa za kulevya faini bilioni
moja au jela miaka thelathini kwa atakayekamatwa nayo, Jeshi la Polisi
Kagera linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kukutwa na viungo vya
watu wenye ulemavu ya ngozi.
Hali ya siasa ndani ya CCM inazidi kuwa tete baada ya makundi mbalimbali ya jamii kwenda kumshawishi Edward Lowassa agombee Urais.
Kwenye uchambuzi huo kulikuwa na mazungumzo na Kamanda wa Kikosi cha Kuzuia na Kupambana na Madawa za kulevya nchini, Godfrey Nzowa ambae amesema sheria mpya ya dawa za kulevya iliyopitishwa na Wabunge ni sahihi kutokana na tatizo hilo kuwa kubwa.
Hizo zilisikika kwenye PowerBreakfast @CloudsFM, kama ilikupita bonyeza play hapa mtu wangu utasikia zote…
-via millardayo

Note: Only a member of this blog may post a comment.