Mbwa wakijaribu kushambulia gari
Kituko cha kushangaza mwanaume mmoja nchini China amekumbwa na mkasa wa gari lake kushambuliwa na mbwa baada ya kumpiga mbwa mmoja ambaye alikasirika na kwenda kuwaita mbwa wenzake ambao walikuja na kuanza kushambulia gari hilo huku mwenye gari akiwa ndani ya super market.
Mbwa wakimsubiria jamaa atoke nje ya gari
Mbwa wakiendelea kuharibu gari
Hiyo inamaanisha kuwa jamaa angethubutu kusogelea gari lake mbwa hao wangemshambulia.
-via taarifanews

Note: Only a member of this blog may post a comment.