Tuesday, March 31, 2015

Anonymous

HABARI PICHAZ: MWANAFUNZI WA DARASA LA SABA AUAWA KIKATILI KONDOA, DODOMA!

 Taarifa zilizofika katika dawati letu la habari zinaeleza kuwa mtoto wa darasa la saba ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja, ameuwawa kwa kuchinjwa na kuondolewa sehemu ya kichwa chake. Mwanafunzi huyo inasmekana alikua katika harakati za kuchunga mifugo.
Wakatili hao wameondoka na kichwa hicho na baadhi ya viungo. Tukio hilo limetokea mjini Kondoa.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.