Ajali mbaya ya bodaboda imetokea usiku huu maeneo ya barabara kuu kwenye mataa yaendayo Area D ambapo Dereva wa Bodaboda kagongwa na gari ndogo iliyokuwa inatoka maeneo ya mjini kuelekea Area D
Dereva Bodaboda huyo akiwa anaugulia maumivu ya mguu mara baada ya kupata ajali na kunusurika kifo hivi punde katika mataa ya barabara iendayo AREA D - DODOMA
Source: Lindiyetu

Note: Only a member of this blog may post a comment.