Saturday, March 21, 2015

Anonymous

BALAA TUPU! [PICHAZ] Kuhusu Nay wa Mitego kumchukua mtoto wake mchanga ishu ikaingia Instagram jana na kuzua makubwa..

Nay wa Mitego
Siwema ambaye ni mzazi mwenzake na Nay wa Mitego alikuwa wa kwanza kuweka post kwenye ukurasa wake Instagram.. aliandika kwamba Curtis ambaye ni mtoto wa Nay sio mtoto wa msanii huyo ila baba yake anaitwa Obasanjo
Kingine Siwema amelalamika kuhusu Nay ambaye ni mzazi mwenzake kumnyanyasa na pia kuongea vitu ambavyo sio kweli ikiwemo Nay kusema kwamba alimnunulia gari. 

Nay muda mfupi aliandika pia kwenye ukurasa wake wa Instagram; “Huyu ni malaika wa Mungu… Hajui chochote.. Km kuna mtu anasema ni wake aje amchukue nitampa bila malumbano,, Am a gentleman. Nawapenda wanawake wote mnaojitambua“– @ 

Story ya Nay wa Mitego kumchukua mtoto wake ilisikika kwenye AMPLIFAYA March 17 2015 akisema anamchukua mtoto wake ili akalelewe na mama yake lakini hana ugomvi wowote na mzazi mwenzake.

IMG-20150321-WA0000
IMG-20150321-WA0001 (1)
IMG-20150321-WA0003
IMG-20150321-WA0011 
-via millrdayo

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.