Wednesday, February 18, 2015

Anonymous

VIDEO: Hii ilikuwa jana mashabiki wa Chelsea walipomsukuma mtu kwenye treni

Ishu ilikuwa jana, baada ya mechi ya Chelsea na Paris Saint German fans wa Chelsea wakaingia zao kwenye treni kurudi makwao, lakini walifanya kitendo ambacho kilionekana kuwakwaza wengi na hata uongozi wa Club hiyo pia.

Mashabiki hao walimsukuma kumzuia mtu mmoja ili asipande ndani ya treni hiyo huku wakiimba wimbo uliohisisha ishu ya ubaguzi wa rangi. 

Wakati wakimsukuma walikua wakiimba nyimbo za kibaguzi zilizolenga kumdhalilisha. 
Tutawaadhibu wote waliohusika na kitendo hiki.. kwenye mpira hatuwezi kuruhusu mambo haya, tumepanga pia kuomba wachunguzi kutoka UEFA waweze kutusaidia kuwapata wote waliohusika“-alisema mmoja wa viongozi wa Club ya Chelsea.

Hii hapa chini ni video wakati mtu huyo akisukumwa na mashabiki hao wa Chelsea. Kama kifaa chako hakina uwezo===>>BOFYA HAPA!

Chege & Mh Temba Ft Dj Mapholisa - Kaunyaka (Official Video)
===>>JIONEE HAPA!
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142. 
ASANTE NA KARIBU TENA! 

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.