Thursday, February 5, 2015

Anonymous

UTATA MTUPU! ETI HUYU MTOTO NI WA GWAJIMA AU MBASHA?! SHUKA NAYO HAPA!

Wadau kadhaa wamerusha lawama kwa wahudumu wa hospitali ambayo amejifungulia Mwimbaji wa injili Flora Mbasha kwa kuvujisha picha zilizopigwa ndani ya chumba cha kujifungulia.

Jambo ambalo limezua maswali kwa wengi na kuendelea kuhoji baba wa mtoto huyo? Ndugu msomaji una maoni gani juu ya hili? Wahudumu wametenda haki? Pia wanahoji baba wa mtoto: Je, wana hoja ya msingi?!
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA
 KAMA KUNA TATIZO AU UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142. 
ASANTE NA KARIBU TENA!

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.