Monday, February 23, 2015

Anonymous

UPDATES: KESI YA MSANII CHID BENZ YAPIGWA TENA KALENDA!

Chid Benz akitoka mahakamani.

Kesi inayomkabili mwanamuziki Rashid Makwilo ‘Chid Benz’ akidaiwa kukutwa na madawa za kulevya leo imeahirishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam hadi Aprili Aprili 26 mwaka huu. 

Kesi hiyo imeahirishwa baada ya polisi kutowasilisha jalada katika mahakama ambapo wakili wa serikali, Diana Luhongo, alisema jalada la  maelezo ya awali la mshtakiwa halijawasilishwa mahakamani. 

Mwanamuziki huyo ansdaiwa kukamatwa mwaka jana uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akiwa na madawa ya kulevya wakati akijitayarisha kupanda ndege kwenda Mbeya kwenye tamasha la muziki.
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142. 
ASANTE NA KARIBU TENA! 
(Habari/Picha; Laurent Samatta na Gabriel Ng’osha/GPL)

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.