Monday, February 23, 2015

Anonymous

PICHAZ: KILICHOJIRI MAHAKAMANI KESI YA MH. HALIMA MDEE NA WENZAKE LEO!

Mwenyekiti wa BAWACHA, Halima Mdee (mwenye nguo nyekundu) akitoka mahakamani.
...Akisalimiana na Ofisa wa Oparesheni wa Kinondoni, Emmanuel Tille (mwenye tai) ambaye ni shahidi upande wa jeshi la polisi.
KESI inayowakabili wanachama tisa wa  Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakiwemo wanawake wanane wa Baraza la Wanawake Chadema  (BAWACHA)  na mwanaume mmoja, leo imeahirishwa  na itaendelea kesho katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam. 

Watu hao ambao ni pamoja na Mwenyekiti wa BAWACHA, Halima Mdee, wanakabiliwa na kesi ya kukiuka amri ya jeshi la polisi iliyowataka wasiandamane  4 Oktoba 2014  katika dhamira  ya kupinga katiba iliyopitishwa na  bunge la katiba.
KUMEKUCHA URAIS 2015: Mbowe atembeza BAKULI kwa ajili ya Kuingia Ikulu!===>>SOMA ZAIDI HAPA!
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142. 
ASANTE NA KARIBU TENA!
(Habari/Picha: Gabriel Ng’osha na Laurent Samatta/GPL)

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.