Thursday, February 26, 2015

Anonymous

TUNDA MAN NA ALIKIBA WANAKUJA TENA KIHIVI!

Baada ya kumshirikisha kwenye Msambinungwa, Tunda Man anatarajia kumshirikisha tena Alikiba kwenye ngoma mpya iitwayo ‘Baby’. 

Tunda ameiambia Bongo5 kuwa wakati anajiandaa kumalizia project yake ya ‘Achana na Mimi’ pia anajipanga kumalizia project hiyo na Alikiba. 

“Nina project mpya na Kiba, ngoma inaitwa Baby,” amesema msanii huyo. 

“Ni ngoma ambayo imemalizika bado tupo kwenye mipango ya video ndo tunaangalia mazingira, ila kila kitu kipo tayari kuhusu maandalizi. Kuna kazi nyingi na collabo zinakuja kwahiyo mashabiki wa muziki wangu wakae mkao wa kula.”
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142. 
ASANTE NA KARIBU TENA! 

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.