Na Calvin Kiluswa. Kandili Yetu, Mbeya
TAARIFA TULIYOIPATA KUTOKA JIJINI MBEYA HIVI PUNDE!
Raia wameua mtu mmoja inayesemekana ni askari wa JWTZ huko Mbalizi na mwingine yupo mahututi amekimbizwa hospital ya rufaa Mbeya.
Chanzo cha Mauaji na vurugu hizo ni wivu wa mapenzi askari katembea na mchumba wa raia.
Taarifa zaidi zitawajia hivi punde, endelea kufuatilia www.kandiliyetu.com kwa taarifa zaidi.
TAARIFA TULIYOIPATA KUTOKA JIJINI MBEYA HIVI PUNDE!
Raia wameua mtu mmoja inayesemekana ni askari wa JWTZ huko Mbalizi na mwingine yupo mahututi amekimbizwa hospital ya rufaa Mbeya.
Chanzo cha Mauaji na vurugu hizo ni wivu wa mapenzi askari katembea na mchumba wa raia.
Taarifa zaidi zitawajia hivi punde, endelea kufuatilia www.kandiliyetu.com kwa taarifa zaidi.
JIUNGE
NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU
UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.ASANTE NA KARIBU
TENA!
Picha kwa hisani ya mdau wa kandiliyetu.com, Calvin Kiluswa, Mbeya


Note: Only a member of this blog may post a comment.