Keki ya sherehe ilivyokuwa.
MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Winifrida Josephat
‘Recho’, usiku wa kuamkia leo alifanya sherehe ya kuzaliwa kwake na
baadhi ya jamaa na marafiki aliowaalika katika Hoteli ya Regence
Mikocheni jijini Dar ees Salaam.
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU
UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.
ASANTE NA KARIBU
TENA!
(Habari/Picha: Musa Mateja/GPL)


Note: Only a member of this blog may post a comment.