Friday, February 6, 2015

Anonymous

PICHA ZA WEMA SEPETU AKIWA NA OMY DIMPOZ ZABAMBA VIBAYA MTANDAONI!


Siku ya juzi kwenye kurasa mbalimbali za watu maarufu kwenye mtandao wa INSTAGRAM walibandika picha hizi za mwanadada Wema Sepetu akiwa na Ommy Dimpoz wakiwa katika mapozi tofauti tofauti.

Kila zilipowekwa, wengi walibonyeza kitufe cha kuzipenda na wengine waliandika maoni yao huku wengi wakiwasifia kwa jinsi walivyopendeza, na wengine walienda mbali zaidi kuwa wamependezana hivyo ingependeza hii iwe ni Le PROJECT mupyaaa.
Ila baadhi ya watu walibuka na kuponda bila sababu kibaya zaidi ni pale baadhi yao ambao sio waungwana na wamekosa maadili walikuwa wakiporomosha lugha za maji taka nakuleta mabishano ambayo huchafua kabisa “post” za watu.
Tujirekebishe jamani hata kama watu huwapendi sio vyema kutumia akaunti feki na kutukana watu kwa chuki zako binafsi.
Hapa Wema na Ommy Dimpoz mmetokeleze, pokeeni LIKE!!
Mzee wa Ubuyu.
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.ASANTE NA KARIBU TENA!

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.