Msanii anayefanya muziki na filamu Bongo, Snura Mushi.
Gladness Mallya/Ijumaa
Msanii anayefanya muziki na filamu Bongo, Snura Mushi ameeleza kushangazwa kwake na taarifa zinazozidi kuenea kuwa amejifungua, jambo ambalo anadai eti siyo kweli.
Msanii anayefanya muziki na filamu Bongo, Snura Mushi ameeleza kushangazwa kwake na taarifa zinazozidi kuenea kuwa amejifungua, jambo ambalo anadai eti siyo kweli.
Madai ya staa huyo kujifungua kwa siri yameenea na hata wasanii
wenzake wanajua hivyo lakini mwenyewe amekuwa akikanusha na kuwaacha
mashabiki wake njia panda.Akipiga stori na Ijumaa hivi karibuni, Snura
alisema yeye ana mtoto mmoja mkubwa lakini madai ya kwamba amejifungua
hivi karibu hayana ukweli.
“Mimi sina mtoto mdogo, mwanangu ni yule mnayemjua, hao wanaosema
nimezaa mbona wananizalisha?” alihoji Snura ambaye baada ya muda mrefu
kupotea, juzikati aliibukia kwenye Ukumbi wa Escape One ulipo Msasani,
jijini Dar.
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU
UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.
ASANTE NA KARIBU
TENA!


Note: Only a member of this blog may post a comment.