Wednesday, February 11, 2015

Anonymous

BIFU JIPYA BONGO MUVI: KISA SKENDO YA KUJIUZA NJE YA NCHI..NI AMANDA NA LUNGI!

NYOTA wa filamu kitambo, Lungi Maulanga anadaiwa kuwa katika bifu kali na mwenzake Tamrina Poshi ‘Amanda’ kwa kile kinachotajwa kuwa ni mmoja wao kumponda mwenziye akimsema kuwa anaenda nje kujiuza.
Nyota wa filamu kitambo, Lungi Maulanga.
“Unaambiwa Lungi baada ya kuambiwa hivyo alikasirika na kumpigia simu Amanda wakaanza kutukanana kiasi cha kufikia hatua ya kutaka kuchapana,” kilisema chanzo chetu.
Msanii wa filamu Bongo,Tamrina Poshi ‘Amanda’.
Baada ya habari hii kutua mezani, mwandishi wetu alizungumza na wote wawili ambapo Lungi alikiri kutofautiana na mwenzake kwa alichosikia, wakati Amanda alikanusha kuwa na ugomvi na mwenzake na kwamba hajaongea naye kwa simu kwa muda mrefu kwani hata namba yake hana.
MAKAVU LIVE: NAY WA MITEGO USIPOJIPANGA TUTAKUPANGA!
===>>SOMA ZAIDI HAPA! 
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.ASANTE NA KARIBU TENA!  
-Risasi Mchanganyiko

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.