Kituo cha mafuta cha PUMA - Mwenge.
BAADA ya jana Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) Felix
Ngamlagosi kutangaza bei mpya ya petroli kutoka Sh.1,955 hadi Sh1,768
kwa lita ikiwa ni punguzo la Sh.187, sawa na asilimia 9.56 kwa bei ya
rejareja, kuanzia leo imeanza kutekelezwa.
Hii ni mara ya pili katika kipindi cha siku
28 kwa (Ewura)kushusha bei. Mara ya mwisho ilikuwa Januari 7,
iliposhusha kutoka Sh.2,097 hadi Sh.1955 kutokana na kushuka kwa bei ya
nishati hiyo katika soka la dunia.
Mwandishi wetu wa Global Publishers
amezungukia baadhi ya vituo vya mafuta vya jijini, Dar es Salaam na
kukuta baadhi ya bei zikiwa zinatofautiana huku baadhi ya vituo
vikionekana bei kushuka sana kama ifuatavyo.
TSN – Bamaga, Mwenge
Petroli – 1,768.
Diesel – 1,708.
PUMA - Mwenge
Petroli – 1,768.
Diesel – 1,708.
OIL COM, Kifungira, Mwenge
Petroli – 1,768.
Diesel – 1, 708.
TOTAL, Mlimani City, Mwenge
Petroli – 1,768.
Diesel – 1,708.
BIG BON, Mori, Sinza
Petroli – 1,768.
Diesel – 1, 708.
GBP, Mapambano, Sinza
Petroli – 1,720.
Diesel - 1,660.
Diesel – 1,708.
PUMA - Mwenge
Petroli – 1,768.
Diesel – 1,708.
OIL COM, Kifungira, Mwenge
Petroli – 1,768.
Diesel – 1, 708.
TOTAL, Mlimani City, Mwenge
Petroli – 1,768.
Diesel – 1,708.
BIG BON, Mori, Sinza
Petroli – 1,768.
Diesel – 1, 708.
GBP, Mapambano, Sinza
Petroli – 1,720.
Diesel - 1,660.
AJALI MBAYA: [PICHAZ] NDEGE YAANGUKIA MTONI NA KUUA WATU 12
===>>SHUHUDIA HAPA!
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.
===>>SHUHUDIA HAPA!
KAMA KUNA TATIZO AU UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.
ASANTE NA KARIBU TENA!
(PICHA, STORI: DENNIS MTIMA/GPL)

Note: Only a member of this blog may post a comment.