Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Thursday, October 29, 2015
Anonymous
Breaking News: Matokeo Rasmi ya Ubunge Jimbo la MBAGALA Yametangazwa Muda Huu Licha ya Awali KutangazwaKuwa Yamefutwa!
Jimbo la Mbagala: Ali Mangungu wa CCM,ameshinda kwa jumla ya kura 87249 dhidi ya mpinzani wake wa karibu Kondo Bungo wa CUF, aliyepata kura 77043. Hata hivyo taarifa za awali zilisema kuwa uchaguzi huo umefutwa kwa madai ya kuwepo kwa kasoro kadhaa.
Note: Only a member of this blog may post a comment.