Kuna tetesi, picha na video zimesambaa mtandaoni zinazoonesha ukaribu kati ya nyota wa muziki wa R&B nchini Marekani, Trey Songz na Vanessa Mdee, zinazotafsiriwa kuwa huenda wakawa wameenda hatua ya juu zaidi ya kile walichokuwa wakikifanya Nairobi, Kenya.
Anasema picha na video hizo zinatafsiriwa vibaya na kwamba yeye na Trey wamewahi kukutana kabla ya hapo na siku zote amekuwa karibu naye.
“Me and J are 100,” Vanessa ameiambia Bongo5 baada ya kuulizwa kuhusu minong’ono hiyo.
“The video and pictures going around are misinterpreted, I worked for MTV and had met Trey before, we were cool then and are cool now,” amesisitiza.
“I respect him [Trey Songz], Juma and all our fans.”
“Being a female artist in Africa, people are always waiting for any opportunity to tarnish ones image , and disregard years of handwork and success. Watch this space am about to give them more. Kazi tu,” ameongeza.
Kwa upande mwingine Vanessa amedai kuwa watu wasubirie kusikia jinsi wasanii wa Afrika walichokifanya na mshindi huyo wa tuzo za Grammy.
“I can’t wait for you and everyone to hear what we worked on with Trey.
Note: Only a member of this blog may post a comment.