Baada ya mchezo huo kumalizika Septemba 16 shirikisho la soka barani Ulaya UEFA kupitia account yao rasmi ya twitter walitoa majina ya wachezaji 11 wanaounda timu bora ya wiki na kwa KRC Genk ametajwa mjamaica Leon Bailey, Bailey anaingia katika kikosi hicho kati ya zaidi ya wachezaji 528 waliocheza mechi za Europa jana.
Kwa upande wa kikosi bora cha UEFA Champions League wametajwa nyota kadhaa wakiwemo wa FC Barcelona lakini kwa upande wa Mabingwa watetezi wa michuano hiyo Real Madrid hawakufanikiwa kutoa hata mchezaji mmoja katika kikosi hicho.
Note: Only a member of this blog may post a comment.