Tuesday, November 24, 2015

Anonymous

HABARI PICHAZ: Nyumba Yateketea Kwa Moto, Ilala – Dar


NYUMBAA Kikosi cha Zima Moto kikiwa katikaharakati za kuuzima moto huo, huku nyumba ikionekana kuteketea.NYUMBAAANyumba hiyo baada ya moto kuzimwa.NYUMBAWakazi wa eneo hilo wakitaharuki.
NYUMBA moja imeteketea baada ya kuungua kwa moto katika mtaa wa Tabora, Ilalal jijini Dar es Salaam leo mchana.
Nyumba hiyo imeteketea ikiwa ni pamoja na vitu vilivyokuwemo ndani ambavyo thamani yake bado haijafahamika.
Gari la Zima moto liliwasili eneo hilo na kusaidia kuzima moto huo japo tayari nyumba ilikuwa imekwishateketea. Aidha chanzo cha moto huo hakijafahamika.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.