Tuesday, August 16, 2016

Unknown

Mkongwe Q CHIEF Adai JOKATE Alimtosa... Anyoosha Mikono Kuwa Hamuwezi!

Q Chief hamwezi Jokate Mwegelo. Ni kwasababu anadai imeshindikana kumtumia kwenye video yake kutokana na kile muimbaji huyo amedai mrembo huyo alitaka alipwe ‘six figures.’ 

Chief ambaye jina lake halisi Abubakar Katwila amedai kuwa amemtaja Jojo kwenye wimbo huo na kwamba ingemake sense kama angeonekana pia kwenye chupa lakini akawa ‘very expensive.’

Akiongea na E-News ya EATV Jumatatu hii, Chief alisema kuwa Jokate ni classmate wake hivyo alitarajia angemlegezea bei lakini Jojo only means business.

Pamoja na hivyo, muimbaji huyo anayejiita ‘Mungu wa Bongo Flava’ amedai kuwa anaheshimu uamuzi wa Jokate na ameongeza kuwa hawezi kuuondoa ukweli kuwa ni mtoto mkali.
Hivi karibuni Q alishoot video mpya na Justin Campos na kudai kuwa itawashangaza wengi.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.