Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Tuesday, July 5, 2016
Unknown
RASMI: Mufti Mkuu wa Tanzania Atangaza Kesho Jumatano ni Sikukuu ya Eid el Fitri
Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakary Zubeiry ametangaza kuwa kesho Jumatano 6/7/2016 ni Sikukuu ya Eid el Fitri. Timu ya Kandili Yetu inawatakia Waislamu wote sikukuu njema.
Note: Only a member of this blog may post a comment.