Friday, May 20, 2016

Anonymous

Penzi La Harmonize Na Jacqueline Wolper Lazidi Kukua Jionee Mwenyewe (+Pichaz)

Mwanzo walianza kama kick lakini kwasasa wanaonekana kama wapo serious.Harmonize mwanamuziki wa Bongo Fleva kutoka WCB ambaye kwa sasa anatoka kimapenzi na Jacqueline Wolper ambayeni x wa Diamond Platnumz. Picha hizi walizotupia mtandaoni zimezidi kuling'arisha penzi lao.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.