Thursday, May 5, 2016

Anonymous

Mwanamke Apatikana Hai Kwenye Vifusi Nairobi Siku Sita Baada ya Ghorofa Kuanguka

Jengo hilo liliporomoka baada ya mvua kubwa kunyesha Ijumaa
Mwanamke amepatikana akiwa hai kwenye vifusi siku sita baada ya jumba kuporomoka katika mtaa wa Huruma, Nairobi.
Juhudi za uokoaji bado zinaendelea ingawa kuna wasiwasi kwamba muda wa kupata manusura wakiwa hai unayoyoma.
Mtoto mchanga atolewa kwenye vifusi Nairobi
Idadi ya waliofariki kufikia sasa imefikia 33.
Watu 80 kufikia sasa bado hawajulikani walipo.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.