Nazizi aliwahi kuwa rapa pekee kwenye kundi la East African Bashment Crew na kufanikiwa kutengeneza jina ukanda wa Afrika Mashariki.
Kutokana na picha alizopost sasa Nazizi anonekana ameanza kuiva kwa mazoezi anayoyafanya chini ya mwalimu wake Zola D na kuwafanya watu waanze kumuogopa pindi wakimuona mitaani anakatisha.
Note: Only a member of this blog may post a comment.