Saturday, May 14, 2016

Anonymous

MSHTUKO! Justin Bieber JB Hapigi Picha Tena!

Justin Bieber
Mkali wa miondoko ya Muziki wa Pop duniani, Justin Bieber amefunguka kupitia Mtandao wa Kijamii wa Instagram kuwa hata piga picha tena na mashabiki wake hata atakapokuwa anakutana nao kwenye ‘public.’
Bieber alifunguka hayo huku akisema umefika wakati hahesabiki kama binadamu, watu wanamchukulia kama mnyama mbugani, kila wanapomuona wanataka kupiga naye picha jambo ambalo yeye halimpendezi.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.