Habari iliyoripotiwa na kituo cha television cha ITV muda mfupi uliopita imeeleza kuwa watu zaidi ya 10 wanahofiwa kufariki dunia katika ziwa nyasa baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kutoonekana kwa siku mbili huko Mbamba Bay mkoani Ruvuma.
Monday, May 23, 2016
Breaking News: Watu Zaidi ya 10 Wahofiwa Kufariki Ziwa Nyasa
Habari iliyoripotiwa na kituo cha television cha ITV muda mfupi uliopita imeeleza kuwa watu zaidi ya 10 wanahofiwa kufariki dunia katika ziwa nyasa baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kutoonekana kwa siku mbili huko Mbamba Bay mkoani Ruvuma.
Note: Only a member of this blog may post a comment.