Friday, April 1, 2016

Anonymous

Kimenuka Instagram! FAIZA wa Mh. SUGU Awaporomoshea Matusi Team WEMA SEPETU!

Mrembo wenye Vituko vya kila leo Faiza Ally ameamua kuwafungukia team Wema Sepetu kwa Kuandika Haya:
Faizaally_ Team Wema wengi wapumbavu - mimi siwezi kupenda kuwa na team za kipumbavu ! Pumbavu zenu wote ....... Mnaponda watu bila mnazalilisha huyo Malkia wenu nae anaonekana Kama nyinyi ! Kweli mshamba mshamba - mshamba belongs uswahilini bora mngekuwaga hata mna point basi #ujinga mtupu..... Hivi account za kina Malkia Malkia wote wajinga sijui wanatafuta followers kutumia picha za Wema ? But i swear to god nisinge penda kuwa na stupid team at all - Ndio Maana mnafanya anatukanwa - mmeanza kuchokonoa matako ya zari sasa mwisho wameanza na watu kuchunguza yake and u know why ? Because of the stupid team that she has - Kama mm ningewaambia yoyote ana taka kuwa team yangu awe na adabu za kuheshimu wengine Na maisha Yao ! Na yoyote mwenye account ya kutukana watu asitumie picha zangu ! And there for kidogo ange kuwa hata na watu wa manna kabisa hata wa kumwambia ya Maana zaidi ya Hawa wajinga wa Insta wanao jiita team Wema ......

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.