Sunday, April 3, 2016

Anonymous

Baada ya Kujua Mshahara wa Rais, Mtujuze Sasa Mshahara wa Mwenyekiti wa CHADEMA


Hapo Nyuma kulikuwa na Kelele kuhusu mshahara wa Rais.
Watu waligeuza kama ndio hoja ya kuwatoa kimasomaso
Sasa Jana Rais kavunja mzizi wa fitna na kutuambia anapokea kiasi cha Tshs. milioni 9.5
Ni wakati wa Mbowe naye kutuambia hadharani Kiasi anachojilipa  maana yeye ndie mlipaji. Ni shilingi ngapi kwa mwezi?

Pia kwakuwa niwakati wa uwazi na Mabadiliko ya ukweli
Atuambie pia malipo ya Makao makuu ya CDM pale ufipa iwe ni kwa mwaka au kwa mwezi ni shilingi ngapi

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.