Anaitwa Godfrey Magila, yeye na vijana wenzake ambao hawajafikisha hata umri wa miaka 25 walipata wazo la kutengeneza App itakayomuwezesha Mteja yeyote wa kampuni ya simu ya Tigo
kulinda kila kitu kilichomo kwenye simu yake hata ikiibiwa na anaweza
kumuona aliyemuibia….. mtazame kwenye hii video hapa chini.
Note: Only a member of this blog may post a comment.