March 9 2016 Kupitia Hekaheka ya Clouds FM Geah Habib ametuletea Hekaheka iliyotokea Kinondoni, Dar es salaam ni madai ya mtoto wa miaka 9 aliyetolewa Iringa kwa ajili ya kuja kufanya kazi za ndani Dar es salaam
‘Kama kweli kuna uwezekano wa kumrudisha huyu mtoto kwao
arudi tu kwao tumechoka sisi kama majirani, leo mimi nilkuwa bondeni
nachota maji nikamkuta amepigwa ndio jirani mwingine akamsaidia kumtoa
kwenye geti, roho inauma sana kwasababu huyu mtoto ni mdogo sana na ni
mwanafunzi‘>>>Majirani
‘Mimi
naitwa Sophia kwetu kabisa ni Iringa nimeambiwa nije huku kufanya
kazi, alafu huyu mama ananipiga, ananiambia nijaze mapipa manne maji
alafu siku nyingine nanyimwa hata chakula, nalalaga njaa kwa mfano juzi
pia nimelala njaa alafu mama pia ananikatzaga nisioge‘>>>Sophia mtoto wa miaka 9 anayefanya kazi za ndani
Stori kamili bonyeza Play hapa chini nimekuweka…..
Note: Only a member of this blog may post a comment.