U Heard ya Soudy Brown kupitia XXL ya Clouds FM March 8 2016 leo inamuhusu Baba mzazi wa msanii kutoka kiwanda cha Bongoflevani Q Chila kutolewa vitu vya ndani nje ya nyumba yake, Soudy Brown amefanya interview na Manager wa Q Chila na stori ilikuwa hivi.
‘Mimi nilipata taarifa juzi
tu alafu hii taarifa ya kutolewa vitu nje imenishangaza sana wala
sikutegeme iwe hivyo, Juzi Q Chila alinifata akaniambia mzee alishawahi
kukopa hela huko nyuma na dhamana ilikuwa ni Nyumba nikwamwambia sawa na
akaniambia swala sahivi limefika Mahakamani‘ QS Muhonda
Full stori ipo kwenye hii sauti hapa chini….
Note: Only a member of this blog may post a comment.