Michuano ya klabu bingwa Ulaya inaendelea leo Mach 8,2016 hatua ya 16
bora michezo mbali mbali itachezwa, Real Madird usiku wa leo
wanaikaribisha AS Roma Uwanja wa Santiago Bernabeu katika mchezo wa
marudianio.
Mchezo mwingine wa Ligi ya Mabingwa leo ni kati ya VfL Wolfsburg
watakaokuwa wenyeji wa KAA Gent Uwanja wa Volkswagen. Mchezo wa kwanza,
Wolfsburg ilishInda 3-2 ugenini.
Ratiba ya leo hii Mach 8,2016
Real Madrid Vs Roma
VfL Wolfsburg Vs KAA Gent
VfL Wolfsburg Vs KAA Gent
Note: Only a member of this blog may post a comment.